Friday, December 5, 2025
spot_img
HomePoliticsMvurugiko Ndani za CCM Samia VS Nchimbi

Mvurugiko Ndani za CCM Samia VS Nchimbi

Unaambiwa jana Kule mjengoni kuliwaka moto kabla na baada ya speach !!! Unaambiwa Nchimbi hakubaliani na kinachoendelea na kila akipinga anaambiwa anautafuta Urais 😆😆

Jana kwa Mara ya kwanza Jumong alimwambia Nchimbi kama hukubaliani na Mimi , Resign , mbona Wenzio kina Mpango waliresign 🤣🤣🤣🤣

Sasa Nchimbi anaresign Vipi wakati kile kiti anakitaka na ni kiongozi wa Team Lowassa !!! Unaambiwa Jumong kawa Mbabe , Mjuaji , na Mbishi !!!! Hata wazee wa chama wameinua mikono , jana kachukua wazee wa pwani kawaleta kwenye kikao cha wazee na kuwalipa 20,000 kila mmoja 😭😭😭

Tunavoongea hivi Jumong anafatilia pesa ya Mkopo kutoka Kwa majirani ili awape wanachuo boom kabla ya tarehe 9 !!!

Wanachuo wamesign ila pesa hazijaingizwa hadi leo , na baadhi ya taasisi za serikali hazijalipwa Mishahara hadi leo , ila jumong kanunua gari linalozuia Risasi kwa pesa za watanzania zaidi ya Trillion tatu .

Facebook Comments Box
RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -spot_img

Most Popular

Recent Comments