Monday, December 8, 2025
spot_img
HomeSwahili GossipChawa Konki wa Jumong alie mponza Ummy !!

Chawa Konki wa Jumong alie mponza Ummy !!

Leo naomba nimwongelee huyu Dada Rabia ambae ndio bingwa wa kurecord maongezi ya viongozi wenzie wakimkosoa Samia na kuyapeleka moja kwa moja kwenye dawati la samia 🤣🤣🤣🤣

Huyu dada kwanza alimrecord Ummy , hiyo siku ummy alikuwa anachat nae na Voice note juu

Ummy alikuwa anasema sijawahi kuona Rais zezeta kama huyu tulionae sasa hivi , yaani hata speech zake hazisomi kabla ya tukio , anazisoma akiwa tayari jukwaani

Mfano mwepesi , samia alikuwa ziara , Alhamisi akasoma speech kwamba hatutaki misaada ya wazungu , kwanza misaada yenyewe inakuja na kero nyingi na pia akasema , hivi karibuni wazungu watakuja kuomba misaada Kwetu .

Kesho yake Ijumaa samia akawa na mwendelezo wa ziara 😆😆 hii ziara ilikuwa ni ufunguzi wa daraza kwa msaada wa France , Balozi wa France alikuwepo 🤣🤣🤣 Jumong akasema , Tunashukuru sana Ufaransa kwa huu msaada , Nimeongea na muheshimiwa balozi hapa , kakubali kutukopesha kiasi kadhaa cha kujenga !!!!!! 😂😂 Mahusiano yetu mazuri ndio yanayofanya Ulaya waendelee kutupa misaada 🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️ kashasahau alichoongea jana 😆😆😆

Ummy akasema kosea vyote ila usikosee kumpa Uraisi mtu mwenye shule za kuunga na mtu mwenye vyeti ya vyuo ambavyo havijasajiliwa 🤣🤣🤣🤣

Ummy kwenye hiyo Voice alisema , Tuna raisi ambae ukimuuliza hii certificate uliipataje anakwambia nilisoma miezi 6 , chuo kipo nyuma ya msikiti wa 😭😭 na ukimuuliza diploma umeipataje anakujibu nimesoma diploma mwaka mmoja mtandaoni 🙆🏾‍♀️🙆🏾‍♀️🙆🏾‍♀️

Ummy aliongea Mengi hadi kutoa siri za mwabana zao walioshare uko mwanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Anyway to cut the story shot , huyu dada ndio aliyemrecord Jokate , Ummy na viongozi kibao wa CCM 😆😆😆😆

NB: aliyenipa umbea kanisikilisha VN ila kagoma kuituma ila ipo wakibisha tutaipost

Facebook Comments Box
Previous article
RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -spot_img

Most Popular

Recent Comments